Re: Kikwete amkubalia Mwanyika kung'oka
nchi haina rais makini unategemea nini.those kind of games utazisikia sana na hilo bunge lijalo hakuna cha maana kitakachoaamuliwa juu ya RICHMOND,wataanza kubishana tu kwa nini kuna mgao wa umeme and that is it
__________________
_______________________________
Kagatui kamusii atiagwako ageni=The Oilskin of the house is not for rubbing on the skin of strangers
|