JamiiForums |The Home of Great Thinkers - View Single Post - Kikwete amkubalia Mwanyika kung'oka
View Single Post
  #5  
Old 6th October 2009, 11:26 AM
Shishye's Avatar
Shishye Shishye is offline
Shishye has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 72,974, Level: 100 Points: 72,974, Level: 100 Points: 72,974, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Feb 2009
Location: On earth
Posts: 258
Thanks: 0
Thanked 42 Times in 22 Posts
Rep Power: 22
Shishye will become famous soon enoughShishye will become famous soon enoughShishye will become famous soon enoughShishye will become famous soon enoughShishye will become famous soon enoughShishye will become famous soon enoughShishye will become famous soon enoughShishye will become famous soon enough
Default Re: Kikwete amkubalia Mwanyika kung'oka

Huu ni mwendelezo wa Tanzania zaidi ya uijuavyo! Hakuna hata mmoja aliyewajibishwa tangu varangati la Richmond lianze licha ya kuwepo kwa ushahidi wa wazi. Itakuwa si haki kumwajibisha Mwanyika peke yake ilhali vigogo wenzake wameachiwa kuendelea na pensheni zao. Serikali yetu inajali "watu wake" na imeapa kuwalinda kwa kila hali.

Watafanya watakalo maana wanajua hamuwezi kuwafanya lolote. Hata uraisi bado wataendelea nao mwakani.
__________________
"Chunguza Mjomba, Utabaini!"
Reply With Quote