JamiiForums |The Home of Great Thinkers - View Single Post - German killing of headscarved woman at court raises fears in Europe
View Single Post
  #8  
Old 12th July 2009, 04:05 PM
Nsololi Nsololi is offline
Nsololi has no status.
Senior Member
Points: 105,717, Level: 100 Points: 105,717, Level: 100 Points: 105,717, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Thu Mar 2007
Posts: 116
Thanks: 0
Thanked 11 Times in 5 Posts
Rep Power: 24
Nsololi will become famous soon enoughNsololi will become famous soon enoughNsololi will become famous soon enoughNsololi will become famous soon enoughNsololi will become famous soon enoughNsololi will become famous soon enoughNsololi will become famous soon enoughNsololi will become famous soon enough
Default Re: German killing of headscarved woman at court raises fears in Europe

Hili jambo ni hatari sana. Lakini tunahitaji kuliangalia jambo hili kwa mapana zaidi. Inaelekea kuna upepo unavuma all over the world juu ya jamii ngeni kuingia katika taifa fulani na wenyeji kuanza kuwa na wasiwasi juu ya uwezekano wa kumezwa na wageni na hata taratibu zao za maisha kuanza kubadilika ili nao wageni watambuliwa kwa taratibu zao.

Nini kinaendelea Ufaransa na hutuba kali ya Rais wa aliyoitoa bungeni juu ya mavazi ya kiislam??

Nini kinaendelea Australia juu ya waislam/waarabu kutakiwa kuheshimu taratibu za Australia na kama hawapendi basi sio mahala pao pa kuishi??

Na haya tena Ujermani!

Kuna hofu kuwa nchi ya Uingereza kwa miaka hamsini ijayo kuna hatali majority wakawa Waarabu/Wapakstani/Wahindi na uislam ukatake over culture ya Uingereza nzima>
__________________
nsololi
Reply With Quote