Re: New Laptop MacBook Pro 17 inch inauzwa
|
Quote: |
|
 |
|
|
............kwi kwi kwi.........hapana mkuu inategemea unataka kuitumia kwa matumizi gani Mkuu....... lakini kwa brand ya Mac hiyo mashine na hizo specs zake iko juu mazee..........na ninafikiri bei pia aliyoitoa ni reasonable.......
Wee Mkuu Lazy najua ni mkali wa haya mambo je we ni mtu wa ASUS nini? |
|
|
|
|
Wakuu wakni ASUS zina ishu gani?
__________________
"" Nalisema nitayakiri maasi yangu kwa Bwana, naye atanisamehe upotovu wa dhambi zangu"
Kaizer@jamiiforums.com
|