JamiiForums |The Home of Great Thinkers - View Single Post - New Laptop MacBook Pro 17 inch inauzwa
View Single Post
  #9  
Old 5th July 2009, 11:41 AM
LazyDog's Avatar
LazyDog LazyDog is offline
LazyDog ni kajibwa goigoi
JF Senior Expert Member
Points: 5,227,469, Level: 100 Points: 5,227,469, Level: 100 Points: 5,227,469, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Thu Apr 2008
Location: Entrepreneurship, Leadership, Negotiation
Posts: 2,130
Thanks: 387
Thanked 44 Times in 33 Posts
Rep Power: 2027
LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!
Default Re: New Laptop MacBook Pro 17 inch inauzwa

Quote:
View Post
2.6 m unashangaa unaijua hiyo Laptop?
hakuna laptop kwakipindi hiki yenye uwezo kama hii. ndo laptop ambayo ipo kwenye juu ya laptop zotee.


Quote:
View Post
Umetia chumvi mno mkuu!
Naomba nikiri kosa, comment yangu niliitoa kwa kudhani ThinkPad anazungumzia bei; kwani yeye anazungumzia uwezo wa mashine.

We hope to hear more from you ThinkPad kuhusu uwezo wa hicho kifaa. Graphic designers mate yanawatoka wakiona hiyo picha

Unafanya vyema kuuza vitu vipya. Kuna watu wanakusanya used computer USA wanasafirisha kuleta bongo wakati (USA) kuna vifaa vipya kwa bei poa sana; wangenunua badala yake.
Ni ufahamu mdogo tu wa wauzaji pamoja na watumiaji, kwani bongo mahitaji ya computer for heavy professionals yapo.Utakuta mtu analalamika computer ni slow (kwa kazi zake) japo ni mpya, asijue kwamba anatumia computer isiyo na uwezo wa kutosha.
Reply With Quote