Re: Ze Utamu blogger under arrest
It to early to say anything lakini kilicho bayana ni kwamba chanzo cha habari hiyo-blogu ya Chemi che Mponda-kimeshaonyesha kuwa na walakini.Halafu Chemi mwenyewe anajitambulisha kama "amewahi kuwa SENIOR REPORTER wa Daily News kwa miaka kadhaa".Ungetaraji SENIOR REPORTER awe makini kutofautisha TETESI na HABARI KAMILIFU.
Tuangalie pande zote mbili za shilingi.Kuweka picha ya huyo anayedaiwa kuwa ndio mwenye zeutamu ilhali hakuna uthibitisho ni jambo lisilopendeza hata kidogo even if wengi wetu tungependa kujua WHO'S THE UTAMU.Lakini tumjue kwa njia sahihi na wala sio speculative.What is being done is exactly the same as what zeutamu did to make himself the most popular hated figure in the history of Tanzanian online media.How do we know kwamba hiyo source ya habari haina beef na mtuhumiwa?Zeutamu ililaumiwa zaidi,si kwa kuwataja wazinzi hadharani,bali ku-intertain beefs za watu binafsi (waliotalikiana/walioomba wakanyimwa/nk).
I wouldn't be surprised if someone gets sued for this make-believe rumour.
|