Re: Rostam Aziz Ajibu Mapigo - Atoa Tamko Rasmi
Mmh something doesn't click, '...any appropriate actions in order to expose his wrongdoings...' Kwa hiyo malengo siyo kusafishiwa jina bali yanaenda mbele zaidi kuibua na yeye yale yote ayajuayo kuhusu mzee Mengi! Hapa naona ni biashara ya ntaje nkutaje (umemwaga mboga nami namwaga ugali).
I wish Mzee Mengi awe na bulungutu la ushahidi, aumwage..hapo ndio movie itakuwa worth kutazamika....
|