|
Quote: |
|
 |
|
|
YNIM,
Why ae you so hot and mad about Ungwini? Umesahau kuwa kazi yetu ni kufikiria, kupanga kisha kukupa wewe kazi uunde, kisha urusishe kwetu kwa approval na sisi hutangaza zao la fikra zetu?
While we brainstorm the ideas, weye kazi yako is to breakdown the numbers and make it happen, and get residual credits! kwi kwi kwi! ndiyo maana Nyani owns your number! |
|
|
|
|
Umeongea kama ngwini kabisa bwahahahahaha, hiyo hadithi yako ni kweli ktk nchi kama Tanzania...lakini huku magharibi ni kinyume chake, yaani ma-scientist wanafanya uvumbuzi na kuweka kila kitu mezani na mangwini kazi yao ni kukubali, kutia saini na ku-fund hiyo miradi!! Haipo dizaini ya Lowassa kuleta mvua, toka lini mchonga vinyago akaelewa jinsi mvua bosheni inavyotengenezwa?? Ndio mambo ya Al Gore haya, ati yeye ndio aliyegundua internet!! Ebo...toka lini ngwini akawa na ubavu huo!???
Mangwini wa bongo mnaua nchi....