Re: *Miss Tanzania 2008*
|
Quote: |
|
 |
|
|
Ndugu yangu mambo si mambo, yale yale. Labda tutafute kocha wa kigeni aweze kuwafua wadada wetu!!!
Je hatuna uwezo wa kung'ara miss world? Au tutakuwa tunaendelea na usemi wetu ule ule wa ........Kama Nancy..........
Nini Kifanyike?????????????????
Nasreem karibu nyumbani kumbuka nyumbani ni nyumbani |
|
|
|
|
Mbalawata narudia tena katika thread hii pia.... kocha wa kigeni ya nini? Kwani Flavian Matata na Odemba walikuwa na makocha wa kigeni?
__________________
"It is said that power corrupts, but actually it's more true that power attracts the corruptible." - David Brin
|