|
Quote: |
|
 |
|
|
Ndugu yangu buswelu utakuwa unakosea sana kama utakosoa watu bila ya kufanya utafiti au kuangalia vizuri
Kuhusu daraja linalomwaga maji tani 190 kwa dakika ni kweli na kwa ufahamu zaidi jinsi daraja hilo linavyomwaga maji soma kipande hiki
The fountains at the Banpo Bridge were installed on September ninth and have since become a major tourist attraction. It has nearly 10 thousand nozzles ( more exactly 9, 380 ) on either side of the bridge that shoots out 190 tons of water every minute. According to the Seoul mayor, Oh Se-Hoon, the fountain bridge would help acknowledge Seoul as an eco-friendly destination amassing more tourists. But unless the fountain is being used as a means of harnessing energy, the eco-friendliness of this fountain is skeptical.
au gonga hapa kwa full details Latest Seoul Major Tourist Attraction : Banpo Bridge
Kuhusu daraja utakuwa umeangalia vibaya uliposema hizo taarifa si za ukweli angalia daraja hilo kuna KM 35.613 sio KM 35,613 kama ulivyoona wewe
FANYA UTAFITI KABLA YA KUKOSOA |
|
|
|
|
In addition, in some notations a decimal comma is used in place of a decimal point making KM 35.613 = km 35,613
Sometimes you gotta use common sense. If you can dispute the KM 35 then you would be talking.