JamiiForums |The Home of Great Thinkers - View Single Post - Naomba maana ya maneno haya...
View Single Post
  #275  
Old 21st November 2008, 02:45 AM
Mzee Mwanakijiji's Avatar
Mzee Mwanakijiji Mzee Mwanakijiji is offline
Mzee Mwanakijiji anawashangaa wanaoitetea sheria mbovu
JF Premium Member
Points: 12,959,501, Level: 100 Points: 12,959,501, Level: 100 Points: 12,959,501, Level: 100
Activity: 93% Activity: 93% Activity: 93%
 
Join Date: Fri Mar 2006
Location: Kijijini
Posts: 18,445
Thanks: 8,418
Thanked 4,613 Times in 1,292 Posts
Rep Power: 44
Mzee Mwanakijiji is on a distinguished roadMzee Mwanakijiji is on a distinguished road
Send a message via MSN to Mzee Mwanakijiji Send a message via Skype™ to Mzee Mwanakijiji
Default Re: Maana ya neno "Venture"

Quote:
View Post
Venture is an undertaking which is daring.


Kuna tofauti kati ya kudiriki na kuthubutu?
a. "kudiriki" ni kufanya kitu kwa kudhamiria hasa pale inapozaniwa kuwa kitu hicho hakitafanyika. Katika hili kudirika kuna presume kuwa kitu fulani hakitafanyika.

mfano: "Alidiriki kumpinga hadharani" - hakuna aliyedhania atafanya hivyo lakini alifanya hivyo. Kitu ambacho mtu amediriki kukifanya hakikuonekana uwezekano wa kufanyika.


b. Kuthubutu ni kutenda bila ya kujali matokeo yake hata kama watu wanajua kitendo hicho kinaweza kufanywa. Mtu anayethubutu kusema au kufanya kitu anaweza kujua uwezekano wa matokeo fulani lakini bila kujali uwezekano wa ubaya/hatari/tatizo bado atafanya kitu hicho.

mfano: Alithubutu kumpinga hadharani licha ya kuambiwa kwa kufanya hivyo kutamfukuzisha kazi.

Kudiriki hakuoneshi mgongano ni kitendo kinachoendana na uungwana kuliko ukorofi, ugomvi, au kujitakia ubaya, lakini kuthubutu mara zote kunaendana na mgongano na uwezekano wa jambo baya kutokea.

M.M.
__________________
Nchi hii imewahi kung' oa masultani wa kila aina. Tukianza kuvumilia masultani wakuchaguliwa tutapanda mbegu ya masultani wa kuzaliwa. - Nyerere katika "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania"
Reply With Quote