
21st November 2008, 12:01 AM
|
 |
Mbu
buzzing!
JF Premium Member
|
|
Join Date: Thu Jan 2007
Location: Stagnant Springs
Posts: 4,992
Thanks: 418
Thanked 522 Times in 310 Posts
Rep Power: 35
|
|
Re: maishani...
|
Quote: |
 |
|
|
I can imagine if the story could be changed a bit. Let the man be the blind one and the woman be the one who then donated the eyes!!!!!
What would have happened??? |
|
|
|
|
...it can be changed anyway you want it...
yaweza kuwa, binti tajiri kaamua kuolewa na kijana hohe hahe, akamuwezesha huyo mumewe, baada ya biashara kumchanganyia, mume amekuwa jeuri, kiburi na nyumba ndogo lukuki, hasikii la muadhini wala la mnadi swala...kamtelekeza mkewe!
yaweza kuwa, mume kabeba boksi ughaibuni usiku na mchana, kakopa huku na kule almuradi amlete mkewe toka Bongo wayafwaudu wote maisha ughaibuni. Baada ya mke kufika ughaibuni, kalaghaiwa na wajanja, hamtaki tena mume... anadai mshamba na madharau mengine lukuki!
yaweza kuwa,...
Mifano mingi....!
__________________
Powered by JamiiForums.com Copyrights reserved to JamiiForums.com.
|