|
Quote: |
|
 |
|
|
Kwa records za FIFA, wanahesabu mchezo wowote wa kimataifa kuwa ni sawa friend match or otherwise, ndio maana ktk mechi kama za jana ambazo zimechezwa kote barani africa, FIFA wanazitumia kutathmini ubora wa timu husika.
Please don't comment some thing you are not sure of.
Ile ni mechi muhimu sana mbali na kulipiza kisasi pia inatusaidia fifa kwa records |
|
|
|
|
Mkuu sijakuelewa vyema hapa, ubora gani unaosema hapa kwa stars ambayo perfomance yake iko very inconsistence hivyo? jana mko nafasi ya 90, leo 102 keshokutwa 104 for what? Tunacho comment hapa, ni kusherekea kuifunga Black Mambas kwenye friendly mechi halafu unasema umelipiza kisasi! Kwanza kikosi kilicho ifunga stars last year sidhani ndo hicho kilicheza jana, pili sidhani split ya timu yao ya jana sidhani inafanana na ile ilioyotufunga kwenye qualifying match!
Therefore unavyozungumzia kulipiza kisasi mimi sikubali ukiwa unazungumzia mchezo wa jana, cause malengo ya michezo hiyo miwili ilikuwa tofauti kabisa!