Re: Ukistaajabu ya Mussa...
Mh!! mama Mahiza mbona utakuwa na kazi kusimamia CD ipi ichezwe na ipi isichezwe!!
Labda ujaribu kunzia kwenye hizo circle zenu muache ufisadi na viini macho, ndipo CD itabadilishwa.
Kazi ipo. Ukimuamsha aliyelala............
__________________
Trust but verify.
|