JamiiForums |The Home of Great Thinkers - View Single Post - Ukistaajabu ya Mussa...
View Single Post
  #17  
Old 20th November 2008, 12:40 PM
bm21's Avatar
bm21 bm21 is offline
bm21 is a Missile
JF Senior Expert Member
Points: 105,974, Level: 100 Points: 105,974, Level: 100 Points: 105,974, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Mon May 2008
Location: Britain
Posts: 763
Thanks: 1
Thanked 17 Times in 13 Posts
Rep Power: 23
bm21 will become famous soon enoughbm21 will become famous soon enoughbm21 will become famous soon enoughbm21 will become famous soon enoughbm21 will become famous soon enoughbm21 will become famous soon enoughbm21 will become famous soon enoughbm21 will become famous soon enough
Angry Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Kuna mwalimu wangu alinifundisha kuwa 'Unless we put meaning into it, a word has no meaning'. Akafafanua kidogo kuwa maana ya neno hutokana na jamii sio mtu fulani mfano waweza kuwa mwanaume kijinsia lakini jamii fulani inayotambua mwanaume aliepita jando isikutambuwe kuwa mwanaume.

Hivyo basi jamii yawatanzania ndio inayojua ni kwa kiasi gani suara la EPA and ndugu zake limeshughurikiwa sio Mahiza? Hivyo awaachie wanahabali jamii ikiridhika automatically suala la EPA, etc litakuwa historia, hivyo namsihi awaache wadili nao. Kwani tatizo nini eti Mh, au na wewe upo nini?

Suala la unyanyasaji kijinsia jamani wana JF tuliangalie kwa mapana kidogo. Sijafanya research lakini nimefanya observation kama mwanajamii. Kwa observation yangu unyanyasaji halisi nauona kwa vijana wa kiume kuliko wa kike. mtakubaliana na mimi vijana wa kike wengi wanajitegesha kwa tamaa zao na kukosa maadili. na swala hili hata baadhi ya mama zao wanachangia sana. Mimi naona hata uile sheria ya kumwadhibu mwanaume kwa kosa la kupeana mimba na msichana wa shule haiko sawa kwa sababu inawanyanyasa vijana wa viume kijinsia. Mi naona waadhibiwe wote sawa kabisa hii ndio suruhisho la kukomesha mimba mashuleni. Wasichana wengi wanao shika mimba mashuleni ni wale ambao CV zao hazijatulia katika masuala ya mahusiano. Na mara nyingi unakuta ni wasichana wa kuanzia kidato cha 2 - 4. Sasa jamani wana JF katika ulimwengu huu wa Dotcom. Msichana huyu wa Form 2 - 4 kwanini akubali kushika mimba na yeye ni mwanafunzi. Mbona wenzao kwenye nchi zilizoendelea wanakuwa na boyfriends na wanafanya mchezo mbaya kuanzia primary na hawashiki mimba???
Reply With Quote