JamiiForums |The Home of Great Thinkers - View Single Post - Ukistaajabu ya Mussa...
View Single Post
  #12  
Old 20th November 2008, 09:25 AM
Lole Gwakisa's Avatar
Lole Gwakisa Lole Gwakisa is offline
Lole Gwakisa has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 224,299, Level: 100 Points: 224,299, Level: 100 Points: 224,299, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Wed Nov 2008
Posts: 1,178
Thanks: 288
Thanked 274 Times in 137 Posts
Rep Power: 24
Lole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enough
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Mama Bakari Mahiza,nafikiri umekalia kuti la kuanguka,CD unazozisikia ni ule mlio wa kuti kuanza kumeguka na kuanguka.Waandishi wa habari ambao ni kioo cha jamii ndio wanatujulisha juu ya kuti bovu linalotaka kuanguka.Isije ikawa ajabu kuti hilo litakapomeguka kabisaa! maana CD yake tumeshaicheza.Kumeguka kimya kimya wataumia wengi zaidi maana wanao umia na huo wimbo wa EPA, Richmond n.k. wanajua nyimbo hizo walizitunga vipi.Endelea kucheza mama ,na kama wewe hazikuhusu basi kaa chini na wenyewe wenye CD hizo wataendelea kunengua, kama waandishi wetu na vyombo vya habari wanavyo koleza vibwagizo!!!!!
Reply With Quote