JamiiForums |The Home of Great Thinkers - View Single Post - Ukistaajabu ya Mussa...
View Single Post
  #11  
Old 20th November 2008, 08:36 AM
Lorah Lorah is offline
Lorah has no status.
Senior Member
Points: 70,926, Level: 100 Points: 70,926, Level: 100 Points: 70,926, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Fri Aug 2008
Posts: 166
Thanks: 5
Thanked 5 Times in 4 Posts
Rep Power: 22
Lorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enough
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Quote:
View Post
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mwamtumu Mahiza amevitaka vyombo vya habari nchini kuachana na habari zinazohusu sakata la wizi wa fedha katika Akaunti ya Madeni ya Nje, (EPA) pamoja na masuala ya migomo ya walimu kwa madai kuwa masuala hayo tayari yametafutiwa ufumbuzi

Mahiza alisema anachukizwa kuana masuala ya EPA na migomo ya walimu ikishikiliwa bango kila kukicha wakati tayari malalamiko hayo yamefika mwisho kwa sababu walimu wameanza kulipwa na watuhumiwa wa EPA wameshafikishwa Mahakamani.
Tafadhali mpelekeeni ujumbe huu

Tutaacha kuzungumzia EPA pale kesi itakapo isha kwani tuna experience tuliyoipata Richmond alipojiuzulu Lowasa tulimaliza na nyie mkatulia sinahabari imefikia wapi hope JK atatuambia mwisho wa mwaka kama atakuwa nchini
na walimu mpaka alipwe mwalimu wa mwisho kwa sababu tumeyaona ya wazee wa East Africa.
ya migomo ya chuo mpaka rais azungumze suala la vyuo vingi kufungwa kwa pamoja sio la kulivyalia suti na kwenda LIBYA km hakuna kitu ni swala la kuahirisha safari na kutuma ujumbe kuna emegency imetokea nchini kwangu sitaweza kuhudhuria kikao anyways ndo vijana wa siku hizi wazee wamelala mlangoni kwakwe yeye anapita na ving'ora kama ni takataka tu poor me...
Reply With Quote