JamiiForums |The Home of Great Thinkers - View Single Post - Ukistaajabu ya Mussa...
View Single Post
  #9  
Old 20th November 2008, 08:31 AM
Ibrah's Avatar
Ibrah Ibrah is offline
Ibrah has no status.
JF Premium Member
Points: 597,104, Level: 100 Points: 597,104, Level: 100 Points: 597,104, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Thu Mar 2007
Location: TZ
Posts: 1,263
Thanks: 81
Thanked 80 Times in 48 Posts
Rep Power: 26
Ibrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enough
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Huyo Mama amenishangaza sana jana kwenye TV, nadhani ameingilia majukumu ya Wizara ya Jinsia na Maendeleo ya Jamii (Maendeleo ya Jamii). Sasa kama anataka Wanahabari wageuze CD kwenda kwenye masuala ya unyanyasaji, hiyo CD ikielekezwa huko Waziri Sitta naye akisema geuzeni CD andikeni kuhusu Migomo ya Walimu itakuwaje?

Kwa kifupi ajue kuwa WaTanzania kwa sasa priority ni EPA, Elimu (Migomo ya Walimu na Wanafunzi) na baada ya hapo tutataka kujua kuhusu Meremeta, Tangold, Deep Green Finance na ubadhirifu mwingine. Ajue kuwa jukumu la kuandika habari ni la Wanahabari wenyewe na jukmu la habari ipi ipewe kipau mbele ni la Wahariri na Waziri.
__________________
"Then you will know the truth, and the truth will set you free; I am the way, the truth and the life." Jn 8:32; 14:6
Reply With Quote