Re: Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK
Kichuguu,
Umeelezea vizuri sana. Nimejaribu kutafuta maneno ya kuelezea "uhodari" wa Lowassa katika utendaji kazi wake na ufisadi wake nikashindwa. Kwa hili nakushukuru kutupa wote hapa tuisheni. Hata wale wanaomshangilia Mkapa itabidi wafikirie jinsi alivyojitapikia na kujinyea kirushwa na hivyo ndivyo atakavyokumbukwa. You cannot serve 2 masters at the same time. Ama uamue kujihudumia au kuwahudumia Watanzania.
|