Re: Naomba maana ya maneno haya...
Shukrani kwa wote waliochangia katika kudadavua maneno yaliyoulizwa. Ningependa kuongeza tu kwamba Baraza la Kiswahili la Taifa (Tanzania) limeridhia kutohoa neno "Computer" na kuwa kiswahili bali linaandikwa kwa silabi za kiswahili yaani "Kompyuta".
|