JamiiForums |The Home of Great Thinkers - View Single Post - Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK
View Single Post
  #9  
Old 17th November 2008, 07:14 AM
Dark City's Avatar
Dark City Dark City is offline
Dark City The last of the Thomaso's
JF Premium Member
Points: 188,394, Level: 100 Points: 188,394, Level: 100 Points: 188,394, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Sat Oct 2008
Location: Roaming
Posts: 1,441
Thanks: 1,168
Thanked 438 Times in 246 Posts
Rep Power: 24
Dark City will become famous soon enoughDark City will become famous soon enoughDark City will become famous soon enoughDark City will become famous soon enoughDark City will become famous soon enoughDark City will become famous soon enoughDark City will become famous soon enoughDark City will become famous soon enough
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk

Quote:
View Post

...hizi taarifa hapa tunazo kitambo.....na ukweli ni kuwa haya magazeti ,tv,na redio vyote vilikuwa tayari kwenda hewani miezi sita iliyopita...lakini vilikatishwa na moto wa ajabu uliounguza WASHIRIKA BUILDING.....mkurugenzi walikuwa wamempachika PRINCE BAGENDA...tunahisi kuwa moto uliounguza washirika building ulichomwa na personal intelligence wa kikwete ili kupunguza speed ya haya magazeti...........nadhani wamejipanga upya..

kaka wild hawa watu wana pesa hawategemei mauzo ya issues ili waendelee .....siunaona RAI haliuzi lakini hawatetereki......
Nakushukuru sana kwa hii taarifa muhimu (it's an eye opener). Sikuwa na taarifa kabisa kuhusu hili (nadhani tuko wengi tu)! Pamoja na kwamba haoy magazeti hayauziki, ila ni muhimu sana kwa majukwaa ya ukombozi kama JF na magazeti yenye uzalendo kuweka hili suala wazi ili Watz wajue hili jambo. Hilo ndilo litakuwa hitimisho la njama zao! Kwani wataandika tu, hata TV itarusha matangazo hewani lakini mwisho wa siku wataambulia hukumu ya umma. Tuwasaidie Watanzania wenzetu wajue hii njama ya hatari sana. Sioni kitu gani EL anaweza kutufanyia akiwa raisi. Itakuwa ni sherehe (party) ya mbwa mwitu wenye njaa kuwararua mbuzi (WaTz) wasio na hatia (poor naive Tzn)! We should not (by hooks and crooks) let this happen.
Reply With Quote