Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk
|
Quote: |
|
 |
|
|
LazaroSMtindi,
Hivi kuna ukweli ktk maneno uliyo andika mkuu wangu!.. Na kama kuna ukweli mkuu wangu basi haya ndio magazeti ya kufungiwa.. Kilichoandikwa hapa ni kizito kuliko hata Mwanahalisi na kinapotosha wananchi waliowachagua viongozi hawa...
Kama kweli Chiligati ni mtetezi wa haki basi maelezo hayo hapo juu yanatosha kabisa kufungia magazeti haya ama kuwapeleka mahakamani wahusika wote...Nina hakika ushahidi wa madai yao ni mgumu kupatikana kuliko ule wa gazeti la Mwanahalisi.. |
|
|
|
|
Mkandara,
Penye moshi kuna moto unafukuta. Sasa ukisoma vizuri hiyo listi ya wanaotaka angamizwa, ndio hao ninaowaita CCM Mageuzi ambao wanang'angania kubakia CCM huku wajanja wachache hawawataki.
Hii habari pamoja na kuwa imeletwa kama maoni, ni kitu ambacho nimekiona na kukizungumza upenuni tangu mwezi wa pili kuwa kutakuwa na kampeni kubwa sana ya kuwan'goa wale wote ambao si CCM Mafisadi ndani ya CCM.
Je sasa waelewa kwa nini Mchungaji anakuwa mkali?
__________________
Amani Iwe Nanyi,
Camerlengo
Plu Camerlenghi- Revolutionary Right Reverend Kishoka
"Any existence deprived of freedom is a kind of death." Gen. Michel Aoun
'Who comes to give greeting to the Inkosi-kaas? Who would taste her kiss, whereof the fruit is death? I, the Woodpecker, I, the Slaughterer, I the Swiftfooted! I, Umslopogaas!"
|