JamiiForums |The Home of Great Thinkers - View Single Post - Kampeni ya magazeti mapya ya Karamagi & Co. Dhidi ya JK
View Single Post
  #5  
Old 17th November 2008, 05:30 AM
Rev. Kishoka's Avatar
Rev. Kishoka Rev. Kishoka is offline
Rev. Kishoka has no status.
JF Premium Member
Points: 1,755,222, Level: 100 Points: 1,755,222, Level: 100 Points: 1,755,222, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
 
Join Date: Mon Mar 2006
Location: USA
Posts: 3,471
Thanks: 948
Thanked 699 Times in 257 Posts
Rep Power: 132
Rev. Kishoka is a name known to allRev. Kishoka is a name known to allRev. Kishoka is a name known to allRev. Kishoka is a name known to allRev. Kishoka is a name known to allRev. Kishoka is a name known to allRev. Kishoka is a name known to allRev. Kishoka is a name known to allRev. Kishoka is a name known to allRev. Kishoka is a name known to allRev. Kishoka is a name known to all
Default Re: Kampeni ya magazeti mapya ya karamagi & co. Dhidi ya jk

Quote:
View Post
LazaroSMtindi,

Hivi kuna ukweli ktk maneno uliyo andika mkuu wangu!.. Na kama kuna ukweli mkuu wangu basi haya ndio magazeti ya kufungiwa.. Kilichoandikwa hapa ni kizito kuliko hata Mwanahalisi na kinapotosha wananchi waliowachagua viongozi hawa...
Kama kweli Chiligati ni mtetezi wa haki basi maelezo hayo hapo juu yanatosha kabisa kufungia magazeti haya ama kuwapeleka mahakamani wahusika wote...Nina hakika ushahidi wa madai yao ni mgumu kupatikana kuliko ule wa gazeti la Mwanahalisi..
Mkandara,

Penye moshi kuna moto unafukuta. Sasa ukisoma vizuri hiyo listi ya wanaotaka angamizwa, ndio hao ninaowaita CCM Mageuzi ambao wanang'angania kubakia CCM huku wajanja wachache hawawataki.

Hii habari pamoja na kuwa imeletwa kama maoni, ni kitu ambacho nimekiona na kukizungumza upenuni tangu mwezi wa pili kuwa kutakuwa na kampeni kubwa sana ya kuwan'goa wale wote ambao si CCM Mafisadi ndani ya CCM.

Je sasa waelewa kwa nini Mchungaji anakuwa mkali?
__________________
Amani Iwe Nanyi,

Camerlengo

Plu Camerlenghi- Revolutionary Right Reverend Kishoka

"Any existence deprived of freedom is a kind of death." Gen. Michel Aoun

'Who comes to give greeting to the Inkosi-kaas? Who would taste her kiss, whereof the fruit is death? I, the Woodpecker, I, the Slaughterer, I the Swiftfooted! I, Umslopogaas!"
Reply With Quote