Re: Maana ya 'undermine'
tafsiri ya msemo huo wa mwanakijiji ni
"wanachama wasitweze juhudi za mamlaka"
__________________
Ni haki yangu kuukataa uwongo kama ilivyo wajibu wangu kuukubali ukweli ,itakuwa ni makosa makubwa kuukataa ukweli eti kwa vile siupendi-gamba la nyoka.
|