Re: Maana ya 'undermine'
sasa neno kudhoofisha ni sawa na kupunguza nguvu (to weaken). Mtu ambaye ni dhaifu (which is the root word ya neno dhoofu) inahusiana na hali ya kuchoka nguvu, kupungua nguvu n.k
Nilitaka tutumie lile neno "tekua" alilolisema memba hapo nyuma.
__________________
Nchi hii imewahi kung' oa masultani wa kila aina. Tukianza kuvumilia masultani wakuchaguliwa tutapanda mbegu ya masultani wa kuzaliwa. - Nyerere katika "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania"
|