Re: Maana ya 'undermine'
...hii thread members wengine mme-iundermine sana kwa kutoisoma mapema!!!
tafsiri ya: 'members should not undermine the efforts of the administration'
"wanachama wasidhoofishe ((kwa)makusudi) jitihada za uongozi"
__________________
Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.
Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.
|