JamiiForums |The Home of Great Thinkers - View Single Post - Mgomo wa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini waandaliwa
View Single Post
  #3  
Old 8th October 2008, 05:37 AM
Mwikimbi Mwikimbi is offline
Mwikimbi hakuna aliye bora kuliko taifa lake
JF Senior Expert Member
Points: 339,417, Level: 100 Points: 339,417, Level: 100 Points: 339,417, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sat Mar 2008
Posts: 823
Thanks: 0
Thanked 33 Times in 8 Posts
Rep Power: 24
Mwikimbi will become famous soon enoughMwikimbi will become famous soon enoughMwikimbi will become famous soon enoughMwikimbi will become famous soon enoughMwikimbi will become famous soon enoughMwikimbi will become famous soon enoughMwikimbi will become famous soon enoughMwikimbi will become famous soon enough
Default Re: Mgomo wa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini waandaliwa

Tusipoangalia nchi hii watu hawatasoma, nilikuwa iringa wiki hii pale ruaha uniiversity college, ili mwanafunzi asajiliwe ni lazima awe na na tshs 725,000, aidha umepata mkopo au hapana hizi lazima uzitoe ndo uingie chuoni.watoto wameaga kwao kuja shule wanazurura mjini wakisubiri hiyo bodi ya mikopo ambayo haija-process mikopo na haijulikani ni lini itakamalisha kazi hiyo, watoto wa kike ukikutana nao wanakusaklimia bila sababu, muda si mrefu au tayari washajitumbukiza kwenye umalaya.nawaunga mkono hawa kwenye mgomo wao, hawana njia nyingine dhidi ya serikali bubu, isiyowasikiliza waliyoichagua
Reply With Quote