Re: Mgomo wa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini waandaliwa
Tusipoangalia nchi hii watu hawatasoma, nilikuwa iringa wiki hii pale ruaha uniiversity college, ili mwanafunzi asajiliwe ni lazima awe na na tshs 725,000, aidha umepata mkopo au hapana hizi lazima uzitoe ndo uingie chuoni.watoto wameaga kwao kuja shule wanazurura mjini wakisubiri hiyo bodi ya mikopo ambayo haija-process mikopo na haijulikani ni lini itakamalisha kazi hiyo, watoto wa kike ukikutana nao wanakusaklimia bila sababu, muda si mrefu au tayari washajitumbukiza kwenye umalaya.nawaunga mkono hawa kwenye mgomo wao, hawana njia nyingine dhidi ya serikali bubu, isiyowasikiliza waliyoichagua
|