Kungurumweupe bado kuna hili swali hapa
|
Quote: |
|
 |
|
|
Si wanasema kwamba manii ya mwanaume yanabeba sana virusi vingi? sasa huyo mtoto siatakua keshambuakizwa tayari hata kabla yakua mkubwa tumboni?
Au kinachoingia kwenye yai la kike ni zile mbegu tu sperm cell bila ule umajimaji unaobeba virusi vingi?
Haya madokta kazi kwenu. |
|
|
|
|