JamiiForums |The Home of Great Thinkers - View Single Post - Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?
View Single Post
  #8  
Old 21st September 2008, 03:22 AM
Rodelite Rodelite is offline
Rodelite Okay
JF Senior Expert Member
Points: 84,204, Level: 100 Points: 84,204, Level: 100 Points: 84,204, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sun Oct 2007
Location: Massachusetts
Posts: 265
Thanks: 99
Thanked 7 Times in 7 Posts
Rep Power: 23
Rodelite will become famous soon enoughRodelite will become famous soon enoughRodelite will become famous soon enoughRodelite will become famous soon enoughRodelite will become famous soon enoughRodelite will become famous soon enoughRodelite will become famous soon enoughRodelite will become famous soon enough
Default Re: Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?

Asanteni sana wana JF mliotoa mafunzo haya katika topic hii. Sometimes mimi huwa naulizwa maswali yanayohusika na ugonjwa wa ukimwi nabaki kubabaisha jibu bila kuwa na solid facts.
Kuna wakati mwana mama mmoja aliniuliza....Je kama ukifanya mapenzi na mwanaume mwenye ukimwi ambaye ni "Carrier" wakati wote wawili mkiwa mmelewa....utaambukizwa ugonjwa huu?
Mimi nikamwambia Ndio ataambukizwa.
Je wana JF....mnasemaje katika swali hili?
Reply With Quote