
20th September 2008, 07:38 PM
|
 |
kkiwango
thinking about the future
Senior Member
|
|
Join Date: Mon Aug 2007
Location: Nyumbani
Posts: 143
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 23
|
|
Re: Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?
|
Quote: |
|
 |
|
|
Dear
Lets be careful here what kungurumweupe said above is not totally true. Mtoto akiwa kwenye tumbo la uzazi anaweza kuambukizwa virusi vya ukimwi. Hii inategemea the stage of the mother disease, degree of immunodeficiency as indicated by levels of CD4 na mambo mengine. Ingawa the biggest proportion of children get infected during delivery. As an HIV expert I enjoy following up what is written in JF, but tusiende mbali sana tukadangaya umma, hasa kwenye jambo kama maambukuzi ya HIV.
Asante Willy |
|
|
|
|
Uko sahihi Willy.Lakini pia kama mama akipata therapy mapema basi anaweza mkinga mtoto asipate HIV wakati bado yuko tumboni.
Last edited by kkiwango; 20th September 2008 at 07:39 PM..
Reason: spellings
|