JamiiForums |The Home of Great Thinkers - View Single Post - Kiini cha suplementary dept. Ya sociology
View Single Post
  #5  
Old 21st August 2008, 03:23 PM
Sipo's Avatar
Sipo Sipo is offline
Sipo is self-assured
JF Senior Expert Member
Points: 359,135, Level: 100 Points: 359,135, Level: 100 Points: 359,135, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Fri Jul 2008
Location: SIPAJUI
Posts: 2,167
Thanks: 382
Thanked 430 Times in 293 Posts
Rep Power: 26
Sipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enough
Default Re: Kiini cha suplementary dept. Ya sociology

aisee nguogani umenigusa sana na naamini wewe umeweka mambo kiundani zaidi, na ndivyo ilivyo. Ila uliponiliza ni kwenye GPA jamani hapa ni tatizo, GPA ni mbovu ajabu, FAITH mwaka huu kuna first class moja, can you imagine? yaani grade C ndio fashion. Kwa hali hii masters tutasoma wapi??? hata vyuo vya nje SCHOLARSHIP hupati kwa LOWER SECOND... Hilo la vitabu nalo ni issue jamani....DR anasema msome kitabu cha KARL MARX & FREDRICK ENGELS ''collected works'' mtatafuta library yote hampati...na hapo mjue mnatakiwa mfanye BOOK REVIEW...kitabu kinakuja kupatikana kwake pekee bado wiki moja mkusanye kazi....kwanini msizime moto kama hali yenyewe ndio hiyo?. Na hapa pa kuappeal ndio kabisa umemaliza... kuna DR mmoja aliwahi kuniambia FASS hakuna APPEAL...labda uko ENGINEER NA B-COM. Nilimuelewa vizuri, nanyi fikirieni mtaelewa anamaanisha.
Aisee sipo sina mengi ila habari ndio hiyo na ukweli ndio huo... DR MVUNGI A.A.K (mkuu wa dept) lifanyie kazi hili vinginevyo maisha ya wanafunzi yataishia kuaribiwa na watu wachache ambao watoto wao wanasoma CAPETOWN UNIVERSITY na kwingineko.. Pia FAITH bigup dada unaifahamu vizuri dept na unaonyesha kweli umesoma kwenye ile dept inayoboa kuliko EPA au RICHMOND
Reply With Quote