JamiiForums |The Home of Great Thinkers - View Single Post - BoT Scandal: Tulikotoka, Tulipo, Tunakoelekea
View Single Post
  #9  
Old 29th January 2007, 04:19 PM
Mzee Mwanakijiji's Avatar
Mzee Mwanakijiji Mzee Mwanakijiji is online now
Mzee Mwanakijiji anawashangaa wanaoitetea sheria mbovu
JF Premium Member
Points: 12,984,488, Level: 100 Points: 12,984,488, Level: 100 Points: 12,984,488, Level: 100
Activity: 95% Activity: 95% Activity: 95%
 
Join Date: Fri Mar 2006
Location: Kijijini
Posts: 18,466
Thanks: 8,488
Thanked 4,668 Times in 1,309 Posts
Rep Power: 44
Mzee Mwanakijiji is on a distinguished roadMzee Mwanakijiji is on a distinguished road
Send a message via MSN to Mzee Mwanakijiji Send a message via Skype™ to Mzee Mwanakijiji
Default

Kuna tatizo mahali fulani, nalo linahusu fedha..!! Aidha Watanzania (kama serikali) hatujui kusimamia fedha, au tunajua kutumia fedha kwa vitu visivyo vya lazima. Kwenye suala la mikataba kila siku najiuliza hivi kweli tunao watu waliosomea sheria? Kwenye haya masuala ya fedha, najiuliza hivi tunao watu waliosomea Uhasibu!?
__________________
Nchi hii imewahi kung' oa masultani wa kila aina. Tukianza kuvumilia masultani wakuchaguliwa tutapanda mbegu ya masultani wa kuzaliwa. - Nyerere katika "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania"
Reply With Quote