JamiiForums |The Home of Great Thinkers - View Single Post - Muungano na kero zake: Tuuvunje?
View Single Post
  #7  
Old 4th July 2006, 05:35 PM
Sam Sam is offline
Sam has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 872,991, Level: 100 Points: 872,991, Level: 100 Points: 872,991, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Jun 2006
Posts: 595
Thanks: 0
Thanked 3 Times in 2 Posts
Rep Power: 25
Sam will become famous soon enoughSam will become famous soon enoughSam will become famous soon enoughSam will become famous soon enoughSam will become famous soon enoughSam will become famous soon enoughSam will become famous soon enoughSam will become famous soon enough
Default

Mzee Mkandara,
Mimi naamini hakuna kitu kitachotutengenisha kati yenu na Zanzibar kijamii, sisi ni wamoja na tunashirikiana vizuri sana kijamii. Muungano wa kiuchumi na kisiasa unaturudisha nyuma sana kimaendeleo. Ni kitu ambacho hakiingii akilini kwa nini Zanzibar iwe na serikali yake ndani yamuungano wakati Dar es Salaam ambayo wakati wake ni mara mbili ya wakazi wa visiwani na bado wanataka wachukua 40% for what. Kama hawataki Zanzibar uwe mkoa basi muungano wa kisisa na uchumi ufe, ni gharama kubwa kwa serikali ya Muungano.
Reply With Quote