JamiiForums |The Home of Great Thinkers - View Single Post - Muungano na kero zake: Tuuvunje?
View Single Post
  #4  
Old 4th July 2006, 01:01 AM
Rufiji Rufiji is offline
Rufiji has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 142,627, Level: 100 Points: 142,627, Level: 100 Points: 142,627, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Sun Jun 2006
Posts: 870
Thanks: 20
Thanked 109 Times in 53 Posts
Rep Power: 25
Rufiji will become famous soon enoughRufiji will become famous soon enoughRufiji will become famous soon enoughRufiji will become famous soon enoughRufiji will become famous soon enoughRufiji will become famous soon enoughRufiji will become famous soon enoughRufiji will become famous soon enough
Default

Sam,

Inasikitisha sana kusoma huo mswada unaotegemewa kufanywa sheria katika siku za usoni , swali langu mimi ni moja tuu Watanzania ni nani aliyetuloga ? Kwa nini atufikirii kabla ya kufanya maamuzi ?

Kweli , kuna haja ya kuwa rocket scientist kujua ya kuwa huo mswada ni ujinga na ni kuwatukana wazalendo ? Yaani mapato ya madini yagawanywe katika uwiano wa 60% bara na 40 % zanzibar ....Ni vigezo gani wametumia kupata hizi figure ? kwanza zanzibar ina population ya watu wangapi .

Sam , naona utakuwa unaumiza kichwa tuu . Hawa viongozi awajali watu wa kawaida wanachodai ni masilahi yao binafsi ! siasa za bongo ni upotevu wa muda kwani wananchi wako so dormant na mara nyingi wanaishia kulalamika tuu .kikifika kipindi cha uchaguzi wanapitishiwa mswada wa kuwapa pilau " wanahongwa pilau " then wanawachagua kwa asilimia 80%.
Reply With Quote