JamiiForums |The Home of Great Thinkers - View Single Post - Muungano na kero zake: Tuuvunje?
View Single Post
  #3  
Old 3rd July 2006, 11:34 PM
Mkwawa Mkwawa is offline
Mkwawa has no status.
Member
Points: 87,422, Level: 100 Points: 87,422, Level: 100 Points: 87,422, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Jul 2006
Posts: 37
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 0
Mkwawa will become famous soon enoughMkwawa will become famous soon enoughMkwawa will become famous soon enoughMkwawa will become famous soon enoughMkwawa will become famous soon enoughMkwawa will become famous soon enoughMkwawa will become famous soon enoughMkwawa will become famous soon enough
Send a message via ICQ to Mkwawa
Default

Hili suala hata mimi niliwahi kusema si suala la Lowassa na Vuai!

Hivi CCM na viongozi wake ni lini watakubaliana kuwa watanzania wana mawazo nao wanaweza kuchangia?

Kuhusu muungano ninakubaliana na wewe ni vema tuuvunje kwanza au iundwe serikali moja hata ukisoma kitabu cha Mwalimu uongozi na ... alishauri serikali moja kwa sababu alisema muundo wa muungano ni serilaki mbili kuelekea serkali moja baadaye. Lakini zanzibar cini ya CUF na CCM wenye we huko wanataka serikali tatu ili waendelee kutunyonya zaidi!!


Sawa haya ya (Lowaasa na Vuai )yakipelekwa bungeni yakapitishwa yatakuwa mabaya zaidi kuliko hata ya Nyerere na Karume . Hawa watu wa bara wataumia zaidi lakini hao hao wa bara wamekuwa kama

walinyweshwa dawa kuhuu muungano hawataki kabisa kuungolea!!!


Hapa ndipo huwa ninakubaliana na Mtikila!
Reply With Quote
The Following User Says Thank You to Mkwawa For This Useful Post:
Recta (28th January 2010)