|
Quote: |
|
 |
|
|
asante mtoto wa mkulima
ila post nyingi hapo zishawekwa cheki thread ya november vacancies.
thanks |
|
|
|
|
Najua mkuu ila hii ni summary ya kazi tuu kwa hiyo niliona sio rahisi kuangalia post za ajira mkuu. Anyway nimeweka ili watu wachangamkie nafasi hizo unajua wenzetu wa Kenya na wengine wanatuzidi hapo kwenye kujaribu bahati mkuu. Watuu huwa wanaogopa nafasi zikitangazwa sasa hizi watu wajaribu tuu kila kitu ni kujaribu wazee.